ASKARI 96 WA TANAPA WAMALIZA MAFUNZO YA AWALI WAAHIDI KUPAMBANA NA MAJANGIRI
Mkurugenzi mkuu wa TANAPA Allan kijazi akiwahutubia wahitimu wa mafunzo ya kuhifadhi maliasili katika chuo cha wanyama pori cha Mlele mkoani katavi ambao hawapo pichani hapo juzi katika chuo cha wanyama pori cha mlele ambapo wahitimu 96 walihitimu mafunzo ya awali ya wahifadhi wa rasilimali za nchi na aliwataka wafanye kazi kwa uadilifu mkubwa ili waweze kupambana na kutokomeza ujangiri na kuvunja mitandao ya majangiri ya ndani ya nchi na nje ya nchi.
Askari wa hifadhi ya mbuga ya wanyama (TANAPA) wakiwa wamesimama wakimsikiliza mkurugenzi mkuu wa TANAPA ambaye hayuko pichani wakati akifunga mafunzo ya askari hao waliohitimu mafunzo ya miezi 3 katika chuo wanyama pori cha Mlele mkoa wa katavi namna ya kulinda rasilimali za nchi ambapo amewataka wahitimu hao wafanye kazi kwa uaminifu
Askari wa hifadhi ya mbuga ya wanyama (TANAPA) wakiwa wamekaa wakimsikiliza mkurugenzi mkuu wa TANAPA ALLAN KIJAZI ambaye hayuko pichani wakati akifunga mafunzo ya askari hao waliohitimu mafunzo ya miezi 3 katika chuo wanyama pori cha Mlele mkoa wa katavi namna ya kulinda rasilimali za nchi ambapo amewataka wahitimu hao wafanye kazi kwa uaminifu.
*********************
HABARI KAMILI
Jumla ya askari 96 wa Shirika la Hifadhi la Taifa la Wanyama Pori (TANAPA) wametimu mafunzo ya miezi mitatu katika
chuo kipya cha wanyama pori cha Mlele kilichopo Mkoa wa Katavi na kutoa kiapo cha uti mbele ya Mkurugenzi
mkuu wa TANAPA Allan Kijazi.
chuo kipya cha wanyama pori cha Mlele kilichopo Mkoa wa Katavi na kutoa kiapo cha uti mbele ya Mkurugenzi
mkuu wa TANAPA Allan Kijazi.
Askari hao wa TANAPA walimaliza mafunzo hayo hapo juzi kwenye chuo hicho cha wanyama Pori
cha Mlele akiwa ni mafunzo ya kwanza hapa nchini
kwa TANAPA kutoa mafunzo kama hayo kwa Askari wa wanyama pori kupatiwa mafunzo hayo kabla ya kuanza kazi.
cha Mlele akiwa ni mafunzo ya kwanza hapa nchini
kwa TANAPA kutoa mafunzo kama hayo kwa Askari wa wanyama pori kupatiwa mafunzo hayo kabla ya kuanza kazi.
Katika Risala yao ya
wahitimu wa mafunzo hayo ya
kulinda maliasili iliyosomwa na Bruno
Mbunda walieleza kuwa
wamejifundisha mbinu mbalimbali za
kulinda rasilimali za Taifa kwa Vitendo
na nadharia.
wahitimu wa mafunzo hayo ya
kulinda maliasili iliyosomwa na Bruno
Mbunda walieleza kuwa
wamejifundisha mbinu mbalimbali za
kulinda rasilimali za Taifa kwa Vitendo
na nadharia.
Waliyataja baadhi ya mafunzo waliyoyapata kuwa ni namna ya kufanya doria , kukamata waharifu kumpekua mharifu na kutotumia nguvu sana katika kukamata mharifu pamoja na pia wamejifundisha namna ya kutumia silaha
Walieleza katika kipindi hicho cha mafunzo
wahitimi hao walifanikiwa kukamata waharifu
hamsini wakati wakifanya
doria katika maeneo mbambali ya
Mbuga ya Katavi na kwenye mapori ya akiba ya Rukwa Lwafi
wahitimi hao walifanikiwa kukamata waharifu
hamsini wakati wakifanya
doria katika maeneo mbambali ya
Mbuga ya Katavi na kwenye mapori ya akiba ya Rukwa Lwafi
Wahitimu hao
walieleza kuwa mafunzo hayo
yaliwashirikisha Askari 99
lakini watatu kati yao
wameshindwa kuhitimu zikiwemo
sababu mbambali kama
utoro na utovu wa nidhamu hari ambayo ilfanya wahitimu waliomaliza kubaki 96 ambapo kati yao mwanamke ni mmoja
na wanaume ni 95
walieleza kuwa mafunzo hayo
yaliwashirikisha Askari 99
lakini watatu kati yao
wameshindwa kuhitimu zikiwemo
sababu mbambali kama
utoro na utovu wa nidhamu hari ambayo ilfanya wahitimu waliomaliza kubaki 96 ambapo kati yao mwanamke ni mmoja
na wanaume ni 95
Kwa upande wake
mkuu wamapori ya akiba ya Rukwa Lwafi
Joseph Mbung’ombe alimweleza mkurugenzi mkuu wa TANAPA kuwa chuo hicho
kinakabiliwa na changamoto mbalimbali
mkuu wamapori ya akiba ya Rukwa Lwafi
Joseph Mbung’ombe alimweleza mkurugenzi mkuu wa TANAPA kuwa chuo hicho
kinakabiliwa na changamoto mbalimbali
Alizitaja
changamoto hizo kuwa ni ukosefu wa mawasiliano
na ubovu wa miundo mbinu ya barabaa na
upungufu wa magari pamoja
idadi ndogo ya washiriki wa
mafunzo kwa wanawake na ufinyu wa bajeti
changamoto hizo kuwa ni ukosefu wa mawasiliano
na ubovu wa miundo mbinu ya barabaa na
upungufu wa magari pamoja
idadi ndogo ya washiriki wa
mafunzo kwa wanawake na ufinyu wa bajeti
Nae Mkurugenzi wa Hifadhi
na Ikolojia Martini Loibook alieleza kuwa mafunzo hayo walioyapata
yanaumuhimu sana hasa kutokana na changamoto zinazoikabili nchi yetu
inayokabiliwa na wimbi la ujangili
na Ikolojia Martini Loibook alieleza kuwa mafunzo hayo walioyapata
yanaumuhimu sana hasa kutokana na changamoto zinazoikabili nchi yetu
inayokabiliwa na wimbi la ujangili
Pia Mkurugenzi
wa utumishi na utawalla
wa TANAPA Witnes Shoo aliwataka wahitimu hao kufanya kazi
kwa uaminifu kwa kujituma na
wawe na didamu na wasiwe na tabia ya kutow a siri za ofisi
wa utumishi na utawalla
wa TANAPA Witnes Shoo aliwataka wahitimu hao kufanya kazi
kwa uaminifu kwa kujituma na
wawe na didamu na wasiwe na tabia ya kutow a siri za ofisi
Mkurugenzi
Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi
aliwaasa wahitimu hao wahakikishe
wanafanya kazi zao kwa uaminifu
mkubwa hasa katika shughuli zao katika kupambana kukomesha ujangili
Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi
aliwaasa wahitimu hao wahakikishe
wanafanya kazi zao kwa uaminifu
mkubwa hasa katika shughuli zao katika kupambana kukomesha ujangili
Aliwataka
kutojihusisha na masuala ya ujangiri na
badal awahakikishe wanafanya kazi za kupambana na mitandao ya ujangiri iliyopo
ndani ya nchi na nje ya nchi
kutojihusisha na masuala ya ujangiri na
badal awahakikishe wanafanya kazi za kupambana na mitandao ya ujangiri iliyopo
ndani ya nchi na nje ya nchi
Alisema wapo
baadhi ya watumishi wa TANAPA ambao wamekuwa sio waaminifu hivyo wahitimu hao
wahakikishe wanafanya kazi zao kwa uaminifu pasipo kueubuniwa na mtu yoyote
yule au watu
baadhi ya watumishi wa TANAPA ambao wamekuwa sio waaminifu hivyo wahitimu hao
wahakikishe wanafanya kazi zao kwa uaminifu pasipo kueubuniwa na mtu yoyote
yule au watu
Leave a Comment