Mamia ya wasafri wakwama Moro baada ya daraja kusombwa

Mamia ya wasafiri wamekwama eneo la Dumila Mkoani Morogoro baada ya daraja kusombwa na maji ambapo pia kunataarifa ya eneo hilo kukumbwa na mafuriko yaliyowaathiri wakazi wa Dumila na hali inaelezwa kuwa ni mbaya.

No comments

Theme images by sbayram. Powered by Blogger.