BREAKING NEWS:AJALI MKOANI SINGIDA

Ni taarifa kuhusu vifo vya watu 13 kupoteza maisha huku watatu wakijeruhiwa kwenye ajali ya Toyota Noah maarufu kama Noah Mchomoko waliyokua wakisafiria kutoka Itigi kwenda Singida kugongana uso kwa uso na lori huko Isuna
.
noah

No comments

Theme images by sbayram. Powered by Blogger.