BREAKING NEWZ: BASI LA FB LAPATA JALI LAJERUHI 42

Watu 42 wamejeruhiwa,21 kati yao wakiwa na hali mbaya,baada ya basi la kampuni ya SB lililokuwa linatokea Mtwara kwenda Dar es salaam kupata ajali eneo la Mchinga-Lindi.

No comments

Theme images by sbayram. Powered by Blogger.