NEWS ALERT TUKIO KATIKA PICHA: WATU WANNE WAMEFARIKI PAPO HAPO BAADA YA KUDONDOKEWA NA KUFUNIKWA NA LORI LA MIZIGO, MTONI ILEMBULA USIKU WA KUAMKIA LEO..
Lori hilo la mizigo likiwa limedondoka Chini ya Mto njia panda ya Ilembula huku watu wanne wakiwa wamefunikwa.
Baadhi ya watu wakiwa wanashuhudia tukio la ajali huku wengine wakijipanga jinsi ya kuwaokoa walifunikwa na kifusi.
Baadhi ya mizigo ikiwa imedondoka katika mto. ANGALIA PICHA ZAIDI...
Hivi ndivyo Lori linavyo onekana likiwa limedondoka chini ya mto eneo la njiapanda Ilembula
Mashuhuda wakiwa wanaongezeka kufika katika eneo la Tukio
Kazi ya uokoaji ikiwa imeanza
Lori la mizigo likiwa limedondoka









Leave a Comment