VITZ YATEKETEA KWA MOTO MUDA HUU ENEO LA MJI MWEMA KIGAMBONI.


 Gari aina ya Vitz ikiwa unateketea kwa moto muda huu
 Ikiwa inaishia ...
 Kwa  habari katika picha tuliyo ipata muda huu kuna Gari dogo aina ya Vitz imeungua yote na moto. Chanzo cha moto hakijafahamika. 
Endelea kufuatilia.. 
Na usisahau ku like page yetu ya facebook Mr. Clever Blog

No comments

Theme images by sbayram. Powered by Blogger.