JESHI LA POLISI KAHAMA LIMELAZIMIKA KUFYATUA RISASI ZA MOTO, BAADA YA WANANCHI KUCHOMA MOTO WATUHUMIWA
Maafisa
wa jeshi la Polisi wilaya ya Kahama wakiwa katika eneo la tukio katika
kwaajili ya kuuchukua mwili wa Marehemu.Inasemekana watuhumiwa hao
walivamia chumba ya mkazi mmoja wa mtaa wa Muhungula Kahama na kujeruhi
kwa mapanga watoto wawili ussiku wa kuamkia leo.
Endelea kufatilia mtandao huu na muda si mrefu tutawaletea taarifa Kamili lakini pia usisahau ku-like page Mr. Clever Blog
Leave a Comment