Basi
la Kidia One linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza
likiwa limepinduka eneo la Usagara Jijini Mwanza leo lilipokuwa
likimkwepa mwendesha pikipiki. Basi hilo lilikuwa likitoka Mwanza kwenda
Dar es Salaam.
Basi
la Kidia One linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza
likiwa limepinduka eneo la Usagara Jijini Mwanza leo lilipokuwa
likimkwepa mwendesha pikipiki. Basi hilo lilikuwa likitoka Mwanza kwenda
Dar es Salaam.
Basi
la Kidia One linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza
likiwa limepinduka eneo la Usagara Jijini Mwanza leo lilipokuwa
likimkwepa mwendesha pikipiki. Basi hilo lilikuwa likitoka Mwanza kwenda
Dar es Salaam.
Basi
la Kidia One linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza
likiwa limepinduka eneo la Usagara Jijini Mwanza leo lilipokuwa
likimkwepa mwendesha pikipiki. Basi hilo lilikuwa likitoka Mwanza kwenda
Dar es Salaam.
BASI la Kidia One linalofanya safari zake kati ya Dar
es Salaam na Mwanza limepata ajali mapema leo likiwa njiani kutoka
Jijini Mwanza kwenda Dar es Salaam. Basi hilo lenye namba za usajili
T449 ASZ limepata ajali likiwa Mkoani Mwanza eneo la Usagara na
kupinduka.
Taarifa ambazo mtandao huu umezipata kutoka kwa mashuhuda zinasema
ajali hiyo imetokea baada ya dereva kujitahidi kumkwepa dereva wa
bodaboda kabla ya gari hiyo kuyumba na kupoteza mwelekeo na hatimaye
kupinduka. Taarifa zinasema ajali hiyo imesababisha abiria wanne
kujeruhiwa kwa kupata michubuko mwilini lakini hakuna madhara mengine
zaidi ya gari kuharibika baadhi ya maeneo. Tunafuatilia taarifa zaidi
juu ya tukio hilo na tutakapozipata tutawajuza.
Leave a Comment