BREKING NEWS! WANANCHI WA BUNJU WACHOMA KITUO CHA POLISI MUDA HUU!

Baadhi
ya wakazi wa Bunju wamevamia na kukichoma moto kituo cha polisi Bunju A
baada ya polisi kufyatua mabomu ya machozi na risasi za moto
kuwatawanya wananchi waliofunga barabara baada ya mwanafunzi na kugongwa
gari na kufariki.
Polisi walilazimika kukimbia na gari lao baada ya kuona wananchi wanawazidi nguvu kwa kurusha mawe na kukiacha kituo hicho bila ya ulinzi ndipo wananchi walipokivamia kituo kuvunja milango na kuwatoa wahalifu waliokuwa wakishikiliwa na kisha kukichoma.
Polisi walilazimika kukimbia na gari lao baada ya kuona wananchi wanawazidi nguvu kwa kurusha mawe na kukiacha kituo hicho bila ya ulinzi ndipo wananchi walipokivamia kituo kuvunja milango na kuwatoa wahalifu waliokuwa wakishikiliwa na kisha kukichoma.
Leave a Comment