Bunge laahirishwa tena, Wabunge UKAWA wapelekwa kamati ya maadili
Kufuatia vurungu hizo Spika amesema yafuatayo;
“ Kwa kutumia kanuni ya kuleta fujo ndani ya Bunge,natamka wabunge wanao husika ambao ni John Mnyika,Tundu Lissu,Silinde,Rashid Abdalah,Lekule,Moses Machali,Mkosamali,Msigwa,selasini ,Mbaruku pamoja na Halifa” kufikishwa mbele ya kamati ya maadili.
Leave a Comment