MATAYARISHO YA UZINDUZI WA JUMUIYA YA MARADHI YASIYOAMBUKIZA ZANZIBAR
Mratibu
wa Jumuiya ya Maradhi Yasiyoambukiza Zanzibar (Z-NCDA) Omar Abdallah
Ali akitoa muhtasari wa majukumu ya Jumuiya yao kwa Wandishi wa habari
hawapo pichani katika Ofisi yao Mpendae Mjini Zanzibar
Mwenyekiti
wa Jumuiya ya Maradhi Yasiyoambukiza Zanzibar (Z-NCDA) Ali Mansour Vuai
akielezea matayarisho ya Uzinduzi wa Jumuiya yao utakaofanyika Machi 1
katika Viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar
Baadhi
ya Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maradhi
Yasiyoambukiza Zanzibar (Z-NCDA) Ali Mansour Vuai (hayupo pichani)
alipokuwa akizungumzia matayarisho ya Uzinduzi wa Jumuiya yao
utakaofanyika Machi 1 katika Viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar
Leave a Comment