Kwa masikitiko makubwa chama cha mabachela chapata pigo kubwa baada ya Manager wa 92,1 Planet Fm Anthon Mhando Washington DC  kuchukua jiko siku ya jana pale White House Inn ya Morogoro.

  Bwana harusi Anthon Mhando na Bi Harusi Amina Issa wakiwasili ukumbini

Somo Farha (kushoto) akiongoza msafara wa maharusi kuingia ukumbini


Warda Makongwa, Chigason na Dj Fradoh wote wafanyakazi wa Planet FM, wakiwa na nyuso za furaha ukumbini hapo  

Bi. Harusi akiwapungia mkono wageni waalikwa wakati akiingia ukumbini
Kwa mbwembwe zote Bwana harusi akiingia ukumbini huku akiyarudi




Hatimaye bibie akampokea bwana, ratiba ikaendela

Kawaida ya wanaopendana huwa wanabebana na kupelekana High Table kama Mhando alivyombeba mkewe


Baada ya kuketi mama wa bwana harusi alipata nafasi ya kutoa nasaha zake kwa maharusi


Wanakamati wakiwa makini kuhakikisha kila kitu kinaenda vizuri husani kwenye upande wa maakuli.


Watangazaji maarufu wa PLANET FM Ramadhani Chigalu (Chiga son) na Warda Makongwa
Mc Natalisi Natalis akiongoza katika kucheza kwaito

No comments

Theme images by sbayram. Powered by Blogger.