Mchinjaji wa IS atambuliwa
Mkurugenzi
mkuu wa FBI James Comey amesema kitengo chake kimemtambua mtu ambaye
huficha sura yake ambaye ni muuaji,ambaye pia huoneshwa wakati
akiwachinja mateka watatu kwenye video inayo nadi wanamgambo wa dola ya
kiislam IS.
Muuaji huyo wa waandishi James Foley na Steven Sotloff pamoja na mfanyakazi wa kujitolea David Haines walipigwa picha ya video na kuwekwa kwenye mitandao na wanamgambo hao wa dola ya kiislam na kusaidia kufanya maamuzi juu ya mipango ya wapiganaji wa jihad.
Leave a Comment