MWANDISHI WA HABARI AFARIKI DUNIA

Mwandishi wa magazeti ya NIPASHE Samson Fridolin Henjelewe pichani, amefariki Dunia jana nyumbani kwake Manzese jijini Dar es salaam kwa mujibu wa kaka wa marehem Wolfgang Henjewele  amesema marehem Samsoni alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kisukari, Shindikizo la damu na Figo amesema Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake atazikwa kesho jumatano makaburi ya Mburahati  marehem amezaliwa mwaka 1971 jijini Dar es Esalaam mungu amlaze pahala pema peponi Amin!

No comments

Theme images by sbayram. Powered by Blogger.