RAIS KIKWETE AELEKEA MAREKANI

  
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe said Meck Sadik na Meneja wa Huduma za Shirika la ndege la Emirates katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Julius Nyerere Bw.  Aboubakar Juma leo Novemba 6, 2014 wakati akielekea kupanda ndege kuelekea Marekani kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake
 CHANZO MICHUZI BLOG
AJALI. BASI LAGONGA TRENI IFAKARA ZAIDI YA WATU 7 WAPOTEZA MAISHA Basi hilo likiwa limepinduka. ZAIDI ya watu saba wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa baada ya Basi la Super Aljabir linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mahenge mkoani Morogoro kugongana na treni maeneo ya Kiberege karibu na Ifakara, Morogoro jioni hii. Ajali hiyo imetokea wakati basi hilo likijaribu kuwahi kuvuka reli kabla ya treni kupita. Basi la Super Aljabir baada ya ajali. Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio. Kwa hisani ya GPL.

Make money by copying the best: http://bit.ly/copy_win
AJALI. BASI LAGONGA TRENI IFAKARA ZAIDI YA WATU 7 WAPOTEZA MAISHA Basi hilo likiwa limepinduka. ZAIDI ya watu saba wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa baada ya Basi la Super Aljabir linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mahenge mkoani Morogoro kugongana na treni maeneo ya Kiberege karibu na Ifakara, Morogoro jioni hii. Ajali hiyo imetokea wakati basi hilo likijaribu kuwahi kuvuka reli kabla ya treni kupita. Basi la Super Aljabir baada ya ajali. Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio. Kwa hisani ya GPL.

Make money by copying the best: http://bit.ly/copy_win

No comments

Theme images by sbayram. Powered by Blogger.