Kinachoendelea uwanja wa Taifa wa zamani Jeshi likimuaga Rais Kikwete

Mjaeshi ya Ulinzi na usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanetumia siku ya leo kama siku muhimu ya kumuaga Amir Jeshi Mkuu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete sherehe zenye lengo la kumshukuru kwa kipindi chake cha miaka 10 kuacha Jeshi imara lenye vifaa vya kisasa pamoja na Askari wenye weledi.
Hivisasa inakuletea picha kadhaa ya kinachoendelea sasahivi katika uwanja wa Taifa wa Zamani ambapo ndiyo sherehe hizo zinafanyika ambapo mpaka tunakwenda mitamboni tayari Mh Rais ameshashuhudia Zoezi la Askari wa Magereza,FFU na Kikosi cha Komando.

Askari wa Jeshi la Wanachi wa Tanzania Brigadi ya Komando wakionyesha zoezi la ukakamavu mbele ya Amiri jeshi Mkuu ambaye ni Rias wa Jahmhuri ya Muungano wa Tanzania ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Askari wa Jeshi la Wanachi wa Tanzania Brigadi ya Komando wakionyesha zoezi la ukakamavu mbele ya Amiri jeshi Mkuu ambaye ni Rias wa Jahmhuri ya Muungano wa Tanzania ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Askari wa Bridage ya Komando wakiwajibika katika zoezi lao waliokuwa wakimuonyesha Rais Jakaya Kikwete
Askari wa Bridage ya Komando wakiwajibika katika zoezi lao waliokuwa wakimuonyesha Rais Jakaya Kikwete
_DSC2268
Askari wa Brigade ya Komando
Askari wa Brigade ya Komando
Askari wa Jeshi la Wanachi Tanzania JWTZ akionyesha zoezi la kupigwa na nyundo ya kupasulia mawe ikiwa kama ishara ya ukakamavu
Askari wa Jeshi la Wanachi Tanzania JWTZ akionyesha zoezi la kupigwa na nyundo ya kupasulia mawe ikiwa kama ishara ya ukakamavu

No comments

Theme images by sbayram. Powered by Blogger.